Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Duh! hii kali ya kufunga mwaka! Huyu ameingia kwenye historia Tanzania!
Narudia hii haijawahi tokea! vyovyote vile huyu ndio askari wa kwanza kwa majeshi yote kujilipua hivi!
Kosa lake litakuwa lipi?Jamaa keshakosa ajira.
Kosa lake litakuwa lipi?