n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Jinai, DCI, Robert Manumba, ameondoka jioni hii kuelekea Afrika Kusini, kwa matibabu zaidi baada ya hali yake kuwa nafuu kidogo.
Habari za uhakika zilizoifikia FikraPevu zimeeleza kwamba Manumba ameondoka kwa ndege maalum ya kampuni ya AAR kwenda Afrika Kusini akitokea hospitali ya Agakhan ya jijini Dar alikokuwa amelazwa baada ya kupelekwa Uwanja wa Ndege kwa gari la kubebea wagonjwa (ambulance) maalumu.
Kwa hisani ya Hali ya Manumba bado tete! Sasa akimbizwa Afrika Kusini | Fikra Pevu
Habari za uhakika zilizoifikia FikraPevu zimeeleza kwamba Manumba ameondoka kwa ndege maalum ya kampuni ya AAR kwenda Afrika Kusini akitokea hospitali ya Agakhan ya jijini Dar alikokuwa amelazwa baada ya kupelekwa Uwanja wa Ndege kwa gari la kubebea wagonjwa (ambulance) maalumu.
Kwa hisani ya Hali ya Manumba bado tete! Sasa akimbizwa Afrika Kusini | Fikra Pevu