Mwanamke na kizungumkuti cha kumtambulisha mpenzi mpya kwa mzazi mwenzie...!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,393
Black-family-PF.jpg


Suala la mwanamke kuzaa pasipo kuolewa sio geni siku hizi. Kuna wimbi kubwa la wanawake waliozaa bila kuolewa. Si lengo langu kuzungumzia sababu ya uwepo wa wanawake waliozaa bila kuolewa, lakini ninachotaka tujadili hapa ni swala la mwanamke kumtambulisha mpenzi mpya kwa mzazi mwenzie.

Inaweza kutokea kwamba mwanamke amezaa na mwanaume lakini kutokana na sababu fulani fulani, swala la kuoana likashindikana. Lakini mwanaume huyo anawajibika kwa malezi ya mtoto na anakwenda kumuona mtoto mara kwa mara na hata kutumia muda hapo nyumbani kwa mwanamke akicheza na mtoto au kumchukua mtoto na kwenda kushinda naye kwake na kisha kumrudisha kwa mama yake.

Kwa kuwa uhusiano wa kimapenzi haupo tena, huyu mwanamke anapata mpenzi mpya ambaye wanaanza uhusiano wa kimapenzi.

Mwanamke, hebu niambie:

1. Je unadhani ni vyema kumkutanisha mzazi mwenzio na mpenzi wako mpya kwa ajili ya utambulisho mwanzoni mwa uhusiano wako na huyo mpenzi mpya?

2. Je unadhani mpenzi wako mpya atauchukuliaje uhusiano wako wewe na mzazi mwenzio linapokuja swal la malezi ya mtoto?

3. Je utamthibitishiaje mpenzi wako mpya kwamba hutarudiana na mzazi mwenzio na kumtelekeza, iwapo mtamaliza tofauti zenu?

Hebu wana JF nipeni uzoefu wenu katika jambo hili……….
 
Naweza mtambulisha mpenzi wangu kwa mzazi mwenzangu bila shida yoyote if they are comfortable.
1. Nafikiri ni vizuri hata kama sio kwa kuonana lkn ni nzuri both of them (especially kama mnacommunicate na baba wa mtoto kuhusu malezi) kujuana kipindi cha mwanzo.
2. Ni ngumu kujua atauchukuliaje; lkn kama ana busara anatakiwa ajiamini kwamba niko naye yeye na sio mzazi mwenza.
3. What can you say; sina mahusiano ya kimapenzi na mzazi mwenzangu kwa over 8 years. Sasa leo ndio nianze; just like any mahusiano mapya, avoid kumrefer X wako na you will be okay. Kama huyo baba bado anaprovide kwa mtoto; let it be known na mpenzio.

Mwisho, kujiamini na kutojicompare ni swala muhimu. Hata kwa mwanamke, jiamini na usinicompee na mzazi mwenzake mumeo.
 
Naweza mtambulisha mpenzi wangu kwa mzazi mwenzangu bila shida yoyote if they are comfortable.
1. Nafikiri ni vizuri hata kama sio kwa kuonana lkn ni nzuri both of them (especially kama mnacommunicate na baba wa mtoto kuhusu malezi) kipindi cha mwanzo.
2. Ni ngumu kujua atauchukuliaje; lkn kama ana busara anatakiwa ajiamini kwamba niko naye yeye na sio mzazi mwenza.
3. What can you say; sina mahusiano ya kimapenzi na mzazi mwenzangu kwa over 8 years. Sasa leo ndio nianze; just like any mahusiano mapya, avoid kumrefer X wako na you will be okay. Kama huyo baba bado anaprovide kwa mtoto; let it be known na mpenzio.

Mwisho, kujiamini na kutojicompare ni swala muhimu. Hata kwa mwanamke, jiamini na usinicompee na mzazi mwenzake mumeo.

Mmmmm aseeh! Sijui nisemeje mie.....
 
Naweza mtambulisha mpenzi wangu kwa mzazi mwenzangu bila shida yoyote if they are comfortable.
1. Nafikiri ni vizuri hata kama sio kwa kuonana lkn ni nzuri both of them (especially kama mnacommunicate na baba wa mtoto kuhusu malezi) kujuana kipindi cha mwanzo.
2. Ni ngumu kujua atauchukuliaje; lkn kama ana busara anatakiwa ajiamini kwamba niko naye yeye na sio mzazi mwenza.
3. What can you say; sina mahusiano ya kimapenzi na mzazi mwenzangu kwa over 8 years. Sasa leo ndio nianze; just like any mahusiano mapya, avoid kumrefer X wako na you will be okay. Kama huyo baba bado anaprovide kwa mtoto; let it be known na mpenzio.

Mwisho, kujiamini na kutojicompare ni swala muhimu. Hata kwa mwanamke, jiamini na usinicompee na mzazi mwenzake mumeo.

hapo ndiyo huwa ninapowashangaa watu ,once its over let it be over...... hlf hiyo tofauti ambayo mtoto alishindwa kuwaonganisha itamalizwa na nini kama siyo kurun out of options na kujidai tofauti tumezimaliza
 
hapo ndiyo huwa ninapowashangaa watu ,once its over let it be over...... hlf hiyo tofauti ambayo mtoto alishindwa kuwaonganisha itamalizwa na nini kama siyo kurun out of options na kujidai tofauti tumezimaliza

Sijui bwana, lbd mnakuwa mmeachana bila maafikiano. Lkn kama mmeachana as mature adults bila mavinyongo then hakuna cha kupatana kwani hakukuwa na ugomvi in the first place. Any way cases ziko tofauti sana, mimi nimezungumzia ya kwangu.
 
Sijui bwana, lbd mnakuwa mmeachana bila maasikiano. Lkn kama mmeachana as mature adults bila mavinyongo then hakuna cha kupatana kwani hakukuwa na ugomvi in the first place. Any way cases ziko tofauti sana, mimi nimezungumzia ya kwangu.

ni kweli tumetofautiana ,ila kama mlishindwana na mtu mkaachana huwa sioni inakuwaje mnaweza mkarudiana tena wakati mlishashindwana.....naonaga ni kama kukaribisha matatizo kwenye maisha yako kwa kujipa matumaini mfu.
 
apo pagum kwan jamaa akitaman c anaweza kupewa tena coz tu n mzaz mwenzie
na huyu mpa hawez furahia ilo
 
Kwa ukweli mimi kama mchumba wa mwanamke ambae ana mtoto nina utaratibu wangu
"
Kwanza mimi kama mhusika wake ningemshauri ajaribu kumshauri baba wa mtoto kuwa aniachie jukumu la kumlea mtoto,hili nitalifanya ili iepushe mazingira ya "shetani alitupitia"
"
Kama atakataa sitamlazimisha,ila lazima nitajadiliana na mke wangu namna ambayo huyo mzazi mwenzake na mke wangu atakua anamuona mwanae bila kificho au mazingira yatakayoleta utata
"
Mwanamke yoyote atajua mipaka atakayokua nayo anapohitaji kuzungumza na mzazi mwenzie kuhusu mtoto
"
Mai waifu Kaunga nakusalimu kwa upendo . . . .Lol!
 
Last edited by a moderator:
Kwa ukweli mimi kama mchumba wa mwanamke ambae ana mtoto nina utaratibu wangu
"
Kwanza mimi kama mhusika wake ningemshauri ajaribu kumshauri baba wa mtoto kuwa aniachie jukumu la kumlea mtoto,hili nitalifanya ili iepushe mazingira ya "shetani alitupitia"
"
Kama atakataa sitamlazimisha,ila lazima nitajadiliana na mke wangu namna ambayo huyo mzazi mwenzake na mke wangu atakua anamuona mwanae bila kificho au mazingira yatakayoleta utata
"
Mwanamke yoyote atajua mipaka atakayokua nayo anapohitaji kuzungumza na mzazi mwenzie kuhusu mtoto
"
Mai waifu Kaunga nakusalimu kwa upendo . . . .Lol!
Utoto unakusumbuwa wewe, zaa wa kwako ndio ulee, si kwamba Mtoto kukaa na Mama yake kwamba Baba hana uwezo ni kwamba kuna umri mtoto ni lazima alelewe na Mama, na Mzazi mwenza akitaka kula mzigo wewe huna ubavu wa kuliepusha. subiri ukuwe ndio utajuwa maana ya Mzazi mwenza.

Kuna watu wameshindwa kuoana kwa ajili ya ulevi wa dini wa Wazazi wao lakini hawajaachana kwa sababu hawapendani, sasa sijui wewe ni nani mwenye uwezo wa kuufuta upendo wao ambao unanegeshwa zaidi na kuwa wana mtoto/watoto wamezaa pamoja.

Over my dead body siwezi kuoa Mwanamke aliyezaa na Baba wa Mtoto yuko hai, Wanawake fresh wapo kibao tu na hujazeeka ni kwa nini ujiingize kwenye uzembe huu.
 
Utoto unakusumbuwa wewe, zaa wa kwako ndio ulee, si kwamba Mtoto kukaa na Mama yake kwamba Baba hana uwezo ni kwamba kuna umri mtoto ni lazima alelewe na Mama, na Mzazi mwenza akitaka kula mzigo wewe huna ubavu wa kuliepusha. subiri ukuwe ndio utajuwa maana ya Mzazi mwenza.

Kuna watu wameshindwa kuoana kwa ajili ya ulevi wa dini wa Wazazi wao lakini hawajaachana kwa sababu hawapendani, sasa sijui wewe ni nani mwenye uwezo wa kuufuta upendo wao ambao unanegeshwa zaidi na kuwa wana mtoto/watoto wamezaa pamoja.

Over my dead body siwezi kuoa Mwanamke aliyezaa na Baba wa Mtoto yuko hai, Wanawake fresh wapo kibao tu na hujazeeka ni kwa nini ujiingize kwenye uzembe huu.

umemaliza kazi, kama kunamtu hajakuelewa akanunue king'amuzi! Mi sina la kuongeza hapo!
 
Naweza mtambulisha mpenzi wangu kwa mzazi mwenzangu bila shida yoyote if they are comfortable.
1. Nafikiri ni vizuri hata kama sio kwa kuonana lkn ni nzuri both of them (especially kama mnacommunicate na baba wa mtoto kuhusu malezi) kujuana kipindi cha mwanzo.
2. Ni ngumu kujua atauchukuliaje; lkn kama ana busara anatakiwa ajiamini kwamba niko naye yeye na sio mzazi mwenza.
3. What can you say; sina mahusiano ya kimapenzi na mzazi mwenzangu kwa over 8 years. Sasa leo ndio nianze; just like any mahusiano mapya, avoid kumrefer X wako na you will be okay. Kama huyo baba bado anaprovide kwa mtoto; let it be known na mpenzio.

Mwisho, kujiamini na kutojicompare ni swala muhimu. Hata kwa mwanamke, jiamini na usinicompee na mzazi mwenzake mumeo.

umejibu vyema ila naomba niongeze swali .
Kwakuwa umezungumzia swala la kuprovide kwa mtoto je ni ruksa kwa X wako kuprovide some needs na kwako pia? na je akiwa anaprovide na akawa analeta mijizawadi kama nguo za ndani na nyingi nyinginezo ambazo kwa wengine huwa wanaziona ni kama zawadi za kiushawishi au za watu wanaopenda je utapokea na utajifill aje?.
na hii haiwezileta shida kwa mpenzi mpya? ikiwa kila mara kakuona mara na nguo mpya mara nguo ya ndani mpya mara viatu au chochote kile na ukamwambia kuwa kimeletwa na x wako je inaweza kuleta shida na wivu wa kimapenzi?
Je wewe binafsi ukiona jamaa limekuwa kama limejirudi na limuekuwa jitu zuri utashawishika??????

MAONI YANGU BINAFSI: Kwa waafrika maswala ya uhusiano nimeshuhudia kuwa ni magumu sana haswa kwenye nyanja hii kidogo kwa wenzetu wakisema mwisho huwa ni mwisho kweli lakini kwetu huwa tunaondoka huku tukijilaumu mara nyingi sana hii hutokea , kwani nimeshuhudia baadhi ya kesi hata wiki iliyopita rafikia yangu alikuwa akinieeleza kisa chake kuwa kaachana na mwanamke na baada ya miaka kumi ameamua kuwa na mwanamke mwingine na alikuwa anapeleka matumizi ya watoto vizuri sana na watoto walikuwa wakiruhusiwa kwenda kumtembelea lakini juzi kajaaliwa kupata mtoto na huyu mwanamke mpya yule X wake alipopata taarifa amekuwa kama kapandwa na wivu usio wa kawaida hataki tena mawasilia na hata kawazuia watoto wasiwasiline na baba yao.
Pia kuwa mwingine ameamua kuwaficha watoto ili kumkomoa baba baada ya kusiikia kuwa ameoa mke mwingine.
Na pia kwa kesi nyingi unasikia wamama wakijaribu kuwafundisha watoto kuingia kwenye kwenye ugomvi wa wazazi kitu ambacho ni kibaya sana wengi wamekuwa wakijaribu kuwajenga watoto kuwachukia baba zao kwa kuwa uhusiano umekwisha.
Na pia najua mara nyingi waafrika hawana utamaduni wa kuwathamini watoto wao majibaba wengi huwa wakiacha mke na mtoto ndio hivyo tena hakuna matunzo ni wachache sna huwa tunaona wakiendelea kuwadhamini watoto wa nje haswa kama hakuna mausiano ya kimwili na mwanamke walietengana naye hivyo mwanamke anapompata mwanaume mpya inakuwa rahisi kusema kuwa ana mtoto na waliachana na huyo mwanaume na kwasasa hawana mawasiliano au mahusiano.
Tatizo huwa linatokea kwa wanaume wengi huwa wakikutana na ma X wao wanapenda sana kutumia neno moja tukumbushiane. na unakuta jinajike linajichekeshachekesha tu haswa kama huyu Mwanamume X yuko vizuri kiuchumi na huyu mwanamke yuko kifedha zaidi.
Haya maswala ya mauhusiano ni ni magumu sana kuwa na jibu lililokamilika kwani yana fomula
 
Eiyer my dear, kuna baba watoto wengine (mine iincluded) anataka kuhusika at least financially (this is what he can afford) kwenye malezi ya mwanae. Sasa kumkatalia ni kjutomtendea haki.

Imagine sina na umenikuta sina mahusiano naye ya mapenzi for all those year, kwanini niyarudishe now that l have you?

Kumbuka sijaachana naye because of you; say nimeachana naye baada ya kugundua we will never be compatible, and we discussed about it. So at least mimi sikuwa na hard feelings kwani l was the one who broke it, n he had over 8 yrs to come in terms with it (if at all alikuwa na grudges).
Na over the years l was into another relationship of which l told him and he was aware and still continued provided for his child.

Sasa kinachokutia wasiwasi ni nini? You will be the father of my son kwa kumlea na kuprovide love, care, education (how to be a man etc) and let him at least pay the fees and other stuff. Lucky my son to have two fathers while others have non (that is the positive side of it).

By the way; kama wewe ungekuwa na mtoto nisingemzuia kuonana au kubond na biological mother wake.

Kwa ukweli mimi kama mchumba wa mwanamke ambae ana mtoto nina utaratibu wangu
"
Kwanza mimi kama mhusika wake ningemshauri ajaribu kumshauri baba wa mtoto kuwa aniachie jukumu la kumlea mtoto,hili nitalifanya ili iepushe mazingira ya "shetani alitupitia"
"
Kama atakataa sitamlazimisha,ila lazima nitajadiliana na mke wangu namna ambayo huyo mzazi mwenzake na mke wangu atakua anamuona mwanae bila kificho au mazingira yatakayoleta utata
"
Mwanamke yoyote atajua mipaka atakayokua nayo anapohitaji kuzungumza na mzazi mwenzie kuhusu mtoto
"
Mai waifu Kaunga nakusalimu kwa upendo . . . .Lol!
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi hayana maana jamani! Suala la kuachana kwa watu walioshare damu hdi akapatikana mtoto cyo rahc km nmanvofikiria sema labda kwakua dunia yetu imeharibika sana cku hzi, bt what I can tell is when u say its over let it be real over! Km tumeachana yanini kuja juanza kuzunguka nyumbani kwng na kudai unacheza na mtoto? Km ni matumizi aprovide hukohuko na mpaka nihitaji mm coz mm ndo mlezi na mm ndo mwenye uchungu wa mtoto! In concluding nafkiri hakuna haja ya kumtambulisha!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
kitalolo
Kama kweli mmechana na wote mmeheshimu kuachana kwenu na mkajadiliana kuhusu malezi ya mtoto, sioni swala la zawadi linapokuja. Sikumbuki kupokea zawadi yoyote toka kwa baba mtoto (ya kwangu) as zawadi. Tena nikihitaji kitu chochote nitamtumia pesa then ataninunulia na kunitumia.
Ada ya shule yeye analipa two terms mimi nalipa one; monthly allowance iko fixed na hakuna cha zaidi. Mawasiliano ni kama once a month na labda itokee emergency. My X after baba mtoto had my password ya email ninayocorespond na baba mtoto.

Narudia kama break up was not consent ya wote au iliacha damage kubwa emotionally huenda ikaleta shida. Pia it depends na ustaaabu wa wote wawii.
 
Last edited by a moderator:
Kwa upande wangu nadhani ni ngumu kuliko tunavyofikiria, na itaendelea kuwa ngumu hadi mwisho na ninaomba kuongea kitu kimoja "sio kwa Wa Afrika peke yake but hata kwa hao wazungu swala hili linakuwaga gumu jamani,,"
 
Back
Top Bottom