hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Wakuu nimeipata hii youtube, inatisha na huwezi kuamini.
mikakati mikubwa inachorwa na kutekelezwa na watu tunaowaamini ni wanamapinduzi na wanamageuzi.
Hii sasa hatari.
Jionee na kusikiliza mwenyewe ukweli huu kutoka kwenye youtube. Huyu anayeongea na kupanga mikakati ni MKURUGENZI WA ULINZI NA USALAMA WA CHADEMA WILLIFRED LWAKATARE akitoa maelekezo kwa vijana wake kwenda kutekeleza tukio la kumteka mwandishi mwandamizi wa mwananchi ambaye ni threat kubwa kwa CHADEMA na ambaye ni rafiki mkubwa wa Zitto.
Anatolea mfano wa matukio mengine waliyoyatekeleza kama lile la kumwagiwa tindikali MUSSA TESHA huko Igunga na kuuawa kwa kijana katika vurugu za CHADEMA na polisi huko Morogoro ambapo tuliambiwa ameangukiwa na kitu chenye ncha kali..
==========================================================
MANENO YALIYOANDIKWA KUAMBATANA NA VIDEO YANASOMEKA HIVI:
==========================================================
VID-20121228-00005 - YouTube
mikakati mikubwa inachorwa na kutekelezwa na watu tunaowaamini ni wanamapinduzi na wanamageuzi.
Hii sasa hatari.
Jionee na kusikiliza mwenyewe ukweli huu kutoka kwenye youtube. Huyu anayeongea na kupanga mikakati ni MKURUGENZI WA ULINZI NA USALAMA WA CHADEMA WILLIFRED LWAKATARE akitoa maelekezo kwa vijana wake kwenda kutekeleza tukio la kumteka mwandishi mwandamizi wa mwananchi ambaye ni threat kubwa kwa CHADEMA na ambaye ni rafiki mkubwa wa Zitto.
Anatolea mfano wa matukio mengine waliyoyatekeleza kama lile la kumwagiwa tindikali MUSSA TESHA huko Igunga na kuuawa kwa kijana katika vurugu za CHADEMA na polisi huko Morogoro ambapo tuliambiwa ameangukiwa na kitu chenye ncha kali..
==========================================================
MANENO YALIYOANDIKWA KUAMBATANA NA VIDEO YANASOMEKA HIVI:
==========================================================
Published on Mar 12, 2013
Video; mikakati ya mateso ya kibanda na mwandishi mwandamizi wa gazeti la mwananchi; mhusika mkuu huyu hapa. Kwa muda sasa hapa tanzania kumekuwepo na matukio ya kusikitisha ya kuteka na kutesa wanaharakati wa haki za binadamu akina mwangosi, ulimboka na wengine..
Sisi wazalendo na wapenda amani ya tanzania tunasema tumechoka na sasa basi tunaweka wazi kila kitu ili umma ujue kinachoendelea..kweli daima itakuweka huru... video hii inaonyesha sehemu tu ya matukio yaliyokwishatekelezwa na chadema , mpango mzima ukiratibiwa na mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama willifred lwakatare kwa maelekezo ya mwenyekiti mh.
Mbowe na katibu mkuu dr slaa. Katika video hii lwakatare anatoa maelekezo kwa kijana wake kwenda kutekeleza utekaji wa mwandishi wa kampuni ya mwananchi huku akitolea mfano wa matukio ambayo chama kiliyatekeleza kama lile la igunga ambapo mussa tesha alimwagiwa tindikali na lile la morogoro ambapo kijana mmoja alifariki katika vurugu za maandamano ya chadema ambapo polisi walitoa taarifa kuwa kijana huyo ameangukiwa na kitu kizito. Hii video ni sehemu tu ya video zingine ambazo tutazitoa wakati muafaka ukifika..
VID-20121228-00005 - YouTube
Last edited by a moderator: